Friday, August 3, 2012

Mchezaji Mrisho Ngassa Atua Simba Sc na Kuungana na Wachezaji Wenzake Wa Simba Mazoezini



Karibu Ngassa tufanye kazi, maisha menyewe mafupi mshikaji"Kaseja",Ngassa hakuna shaka nimekaribia swaiba.

Aliyekuwa mchezaji wa Azam,Mrisho Ngassa akiwa ameegemea gari yake aliyokabidhiwa jana mara baada ya kuwasili katika ufukwe wa Coco Beach kwa kuungana na wachezaji wenzake wa Simba baada ya maridhiano ya Azam,Simba na yeye kumalizika.Picha na Mdau Machellah
 
CHANZO NA HAKI NGOWI BLOG

No comments:

Post a Comment