Tuesday, July 3, 2012

50 CENT KUWASHA MOTO KAMPALA, ATOA MISAADA YA HISANI NCHINI KENYA.

Kwa mujibu wa gazeti la Daily post la nchini Kenya mwanamuziki 50 Cent kutoka marekani anatarjiwa kufanya concert kubwa jijini Kampala nchini Uganda mwezi Septemba mwaka huu.
Hivi karibuni mwanamziki 50 Cent alikuwa nchini Kenya kwa misaada ya Hisani kwa watu wenye mahitaji maalum.
Ikiwa Uganda inasherehekea miaka 50 ya Uhuru mwezi huo wa Septemba mwanamuziki huyo anatarajiwa kukusanya umati mkubwa wa mashabiki.


No comments:

Post a Comment