Thursday, July 5, 2012

CHEKA, WOLPER WAAHIDI KUWATWANGA WAPINZANI WAO KWENYE TAMASHA LA MATUMAINI...!!!


Bondia Francis Cheka (katikati) akitamba mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuwa atamchakaza mpinzani wake Japhet Kaseba.
Wolper (kulia) akijitapa kuwa atamtwanga mpinzani wake mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani).
Nahodha wa Bongo Fleva, H Baba (kulia) akiahidi ushindi kwa timu yake dhidi ya Bongo Movie.
waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini



No comments:

Post a Comment